Ziwa Nyasa (katika Malawi: Lake Malawi; katika Msumbiji: Niassa) ni kati ya maziwa makubwa ya Afrika ya Mashariki likiwa na nafasi ya tatu baada ya Viktoria Nyanza na Ziwa Tanganyika.
Lina urefu wa km 560 na upana wa km 50-80. Vilindi vyake vinaelekea hadi mita 704 chini ya uwiano wa maji yake.
Ziwa Nyasa linapatikana kati ya nchi za Malawi, Msumbiji na Tanzania.
Kusini mwa ziwa unatoka Mto Shire unaopeleka maji kwenye Mto Zambezi na hatimaye Bahari Hindi.
Kijiolojia ziwa ni sehemu ya Bonde la Ufa la Afrika ya Mashariki.
Ziwa Nyasa linajulikana kuwa na aina nyingi za samaki (zaidi ya 1500). Aina chache tu zinavuliwa kama chakula, lakini aina mbalimbali zinakamatwa na kuuzwa nje ya Afrika kwa wapenzi wa samaki wa rangi.
Songwe Airport
Songwe Airport (ICAO: HTGW), usually referred to in flight schedules as Mbeya, is an airport in the southern highland region of Tanzania, serving the city of Mbeya and the surrounding Mbeya Region. It is 20 kilometres (12 mi) west of the city, off the A104 trunk road, and is able to accommodate commercial jet traffic, whereas the unpaved Mbeya Airport is not.
The Songwe non-directional beacon (Ident: SW) is located 4.8 nautical miles (8.9 km) off the threshold of runway 28.[4]
Mbuga ya Serengeti
Hifadhi ya Serengeti ni eneo kubwa la mbuga na misitu katika Tanzania ya kaskazini hasa katika mikoa ya Mara na Arusha ikipakana na nchi ya Kenya.
Eneo lake ni 14,763 km² na kijiografia inaendelea ndani ya Kenya inapoitwa Hifadhi ya Masai Mara.
Kuna idadi kubwa ya wanyamapori. Serengeti pamoja na Masai Mara inajulikana hasa kwa uhamisho wa kila mwaka wa zaidi ya milioni moja ya nyumbu wanaovuka mto Mara. Kuna pia aina nyingi nyingine za wanyama, kati yao “watano wakubwa” wanaovuta watalii hasa yaani tembo, simba, chui, fisi, kifaru na nyati.
Eneo la hifadhi ya Ngorongoro liliwahi kuwa sehemu ya Serengeti hadi kutengwa kama hifadhi ya pekee. Bonde la Olduvai ambako mabaki ya zamadamu yalipatikana liko ndani ya Serengeti. Continue reading “Mbuga ya Serengeti”
Wanyakyusa wa Kyela na Tukuyu
Wanyakyusa (pia huitwa Wangonde au Wasochile) ni kabila la watu wanaoishi kwenye wilaya ya Rungwe katika sehemu za kusini za Mkoa wa Mbeya (Tanzania) kaskazini kwa Ziwa Nyasa.
Lugha yao, inayoendelea kutumika sana, ni Kinyakyusa.
Mara nyingi Wagonde upande wa kusini wa mto Songwe nchini Malawi huhesabiwa pamoja nao katika kundi lilelile.
Mwaka 1993 watu zaidi ya milioni walikuwa wanajumlishwa kwa jina hili, takriban 750,000 upande wa Tanzania na 300,000 upande wa Malawi Continue reading “Wanyakyusa wa Kyela na Tukuyu”
Maasai
Wamasai ni kabila la watu wa kuhamahama wanaopatikana Kenya na Tanzania. Kwa sababu ya mila zao, mavazi tofauti na kuishi karibu na mbuga nyingi za Afrika Mashariki, ni miongoni mwa makabila yanayojulikana zaidi hata nje ya Afrika. [1] Continue reading “Maasai”
Ziwa Tanganyika
Ziwa Tanganyika ni moja ya maziwa makubwa ya Afrika ya Kati likienea mpakani mwa Tanzania, Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo, Burundi na Zambia.
Ni ziwa kubwa la pili duniani kwa wingi wa maji matamu baada ya Ziwa Baikal (Siberia) kwa kuzingatia kiasi cha maji ndani yake na kina (hadi mita 1,470).
Kwa kulinganisha eneo lake (km² 32,893) ni la pili tu baada ya Viktoria Nyanza katika Afrika.
Maji yake hutoka kuelekea mto Kongo ha hatimaye katika Bahari Atlantiki.
Kilimanjaro mountain
Mount Kilimanjaro ( /ˌkɪlɪmənˈdʒɑːroʊ/),[7] with its three volcanic cones, “Kibo”, “Mawenzi”, and “Shira”, is a dormant volcano in Tanzania. It is the highest mountain in Africa, and rises approximately 4,900 metres (16,100 ft) from its base to 5,895 metres (19,341 ft) above sea level. The first persons known to have reached the summit of the mountain were Hans Meyer and Ludwig Purtscheller in 1889. The mountain is part of the Kilimanjaro National Park and is a major climbing destination. The mountain has been the subject of many scientific studies because of its shrinking glaciers and disappearing ice fields.
Kimondo Mbozi-Mbeya
Kimondo cha Mbozi ni kimondo ambacho kimeanguka kutoka angani karibu na mji wa Vwawa. Kinakadiriwa kuwa na uzito wa zaidi ya tani 12, kilianguka katika kilima cha Mlenje, wilayani Mbozi katika mkoa wa Mbeya, Tanzania.
Kipo kati ya vimondo vizito 10 vinavyojulikana duniani. Kina urefu wa mita 3.3, upana wa mita 1.63 na kimo cha mita 1.22.
Kina maumbile maalum tofauti na vimondo vingine vinavyopatikana ulimwenguni kwa kuwa hiki ni hasa cha chuma. Chuma ni 90.45%, nikeli 8,69%, sulfuri 0,01% na fosfori 0,11% ya masi yake.
Lake Ngozi Mbeya
Lake Ngozi is the second largest crater lake in Africa.[1] It can be found near Tukuyu, a small town in the highland Rungwe District, Mbeya Region, of southern Tanzania in East Africa. It is part of the Poroto Ridge and part of the caldera rim is the highest point of the Ridge and mostly composed from trachytic and phonolitic lavas. Ngozi is a Holocene caldera that generated the Kitulo pumice 12,000 years ago during a Plinian eruption, most likely in the same eruption that generated the caldera. Continue reading “Lake Ngozi Mbeya”
Ngorongoro Conservation Area
The Ngorongoro Conservation Area (NCA) is a protected area and a World Heritage Site located 180 km (110 mi) west of Arusha in the Crater Highlands area of Tanzania. The area is named after Ngorongoro Crater, a large volcanic caldera within the area. The conservation area is administered by the Ngorongoro Conservation Area Authority, an arm of the Tanzanian government, and its boundaries follow the boundary of the Ngorongoro Division of the Arusha Region.